Wawili wafa kwa ajari jana mjini mbeya. - story tam

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wawili wafa kwa ajari jana mjini mbeya.

Share This













Vijana wawili walio kuwa kwenye pikipiki aina ya boksa wagonga gari na kufa papo hapo jana mchana muda wa saa tisa mjini Mbeya.
Hata hivyo hawakufahamika kwa haraka majina yao.
Tazama picha hapo juu kuona zaidi.


Popote ulipo tupo.


1 comment:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages